Toscana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: war:Toscana
d roboti Nyongeza: af:Toskane
Mstari 32: Mstari 32:
<!-- interwiki -->
<!-- interwiki -->


[[af:Toskane]]
[[an:Toscana]]
[[an:Toscana]]
[[ar:توسكانا]]
[[ar:توسكانا]]

Pitio la 13:56, 28 Machi 2009

Jimbo la Toscana katika Italia
Wilaya za Toscana

Toscana ni moja kati ya majimbo 20 ya Italia. Iko katikati ya rasi ya Italia kaskazini ya Roma. Mji mkuu ni Firenze. Jumla ya wakazi ilikuwa 3,516,000 mwaka 2004. Eneo lake ni la 20,990 km².

Toscana huitwa jimbo zuri la Italia kwa sababu ya hali ya hewa, uzuri wa mabonde na milima na urithi wake wa kiutamaduni.

Jiografia

Toscana imepakana na majimbo ya Emilia-Romagna, Liguria, Tyrrhenia, Umbria, Marche na Latium. Sehemu kubwa ni eneo la vilima-vilima. Kunda tambarare katika bonde la mto Arno.


Wilaya

Viungo vya Nje