Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Umm Al-Qaiwain, tl:Umm al-Qaiwain Badiliko: ru:Умм-Аль-Кайвайн (город) |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: lmo:Umm al-Quwain Badiliko: it:Umm al-Qaywayn |
||
Mstari 41: | Mstari 41: | ||
[[hi:उम अल क्वैन]] |
[[hi:उम अल क्वैन]] |
||
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
||
[[it:Umm al- |
[[it:Umm al-Qaywayn]] |
||
[[ja:ウンム・アル=カイワイン]] |
[[ja:ウンム・アル=カイワイン]] |
||
[[lb:Umm al Kaiwan]] |
[[lb:Umm al Kaiwan]] |
||
[[lmo:Umm al-Quwain]] |
|||
[[ml:ഉം അല് കുവൈന്]] |
[[ml:ഉം അല് കുവൈന്]] |
||
[[mr:उम-अल-कुवैन]] |
[[mr:उम-अल-कुवैन]] |
Pitio la 14:38, 25 Machi 2009
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain