Vita ya miaka 100 : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: arz:حرب الميت سنه
Mstari 68: Mstari 68:
[[pl:Wojna stuletnia]]
[[pl:Wojna stuletnia]]
[[pt:Guerra dos Cem Anos]]
[[pt:Guerra dos Cem Anos]]
[[ro:Războiul de 100 de Ani]]
[[ro:Războiul de o sută de ani]]
[[ru:Столетняя война]]
[[ru:Столетняя война]]
[[sh:Stogodišnji rat]]
[[sh:Stogodišnji rat]]

Pitio la 11:28, 20 Machi 2009

Ramani inaonyesha maeneo ya vita

Vita ya miaka 100 ilikuwa kipindi cha mapigano kati ya Ufaransa na Uingereza kilichodumu miaka 116 kuanzia mwaka 1337 hadi 1453.

Vita ilianza kwa sababu mfalme Charles IV wa Ufaransa aliaga dunia 1328 bila ya kumwacha mrithi, na mfalme Edward III wa Uingereza aliamini kwamba yeye mwenyewe ana haki ya kurithi cheo hiki kwa kuwa mama yake alitoka katika nasaba ya kifalme ya Kifaransa.

Wafaransa wengi walikataa na hii ilikuwa sababu ya vita.

Mwishowe Waingereza walipaswa kujiondoa katika Ufaransa mzima, hata katika maeneo makubwa waliyowahi kuyatawala chini ya mamlaka ya jina tu ya mfalme wa Ufaransa.

Viungo vya Nje

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA