Kirgizia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ug:قىرغىزىستان
Mstari 125: Mstari 125:
[[haw:Kaikikana]]
[[haw:Kaikikana]]
[[he:קירגיזסטן]]
[[he:קירגיזסטן]]
[[hi:किर्गिस्तान]]
[[hr:Kirgistan]]
[[hr:Kirgistan]]
[[hsb:Kirgizistan]]
[[hsb:Kirgizistan]]

Pitio la 00:24, 7 Machi 2009

Kirgizia


Kirgizia (Kikirgizi: Кыргызстан (Kyrghyzstan); Kirusi: Киргизия (Kirgizia), pia Kirgiztan, Kirigizistaniau Kigistani) ni nchi ya Asia ya Kati. Imepakana na Kazakhstan, Uzbekistan, Tajikistan na China. Neno "Kyrgyztan" lamaanisha "nchi ya makablia 40" kwa lugha ya Kikirgizi.


Wakazi

Idadi ya wakazi ilihesabiwa 2005 kuwa watu 5,264,000. Takriban 70 % kati yao ni Wakirgizi wenyewe, halafu kuna Warusi (9 %), Wauzbeki (14.5%) hasa katika kusini. Takriban tatu robo ni Waislamu.

Ramani ya Kirgizia

Historia

Hadi mwaka 1991 Kirgizia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyet. Ilijulikana kwa jina la "Jamhuri ya Kisovyeti ya Kikirgizi" hadi 1991. Ilipata uhuru wake katika mwendo wa kuporomoka kwa Umoja wa Kisovyeti.

Kabla ya uhuru yalitokea mabadiliko katika uongozi wa chama cha kikomunisti. Viongozi wapya waliotafuta njia bila udikteta kali walishika uongozi na rais Askar Akayev alirudishwa madarakani katika uchaguzi wa kwanza na wa pili.

Lakini uchaguzi wa mwaka 2005 ulionekana haukuwa huru na hasira ya wananchi ikalipuka katika mapinduzi. Uchaguzi mpya ukamteua mpinzani wa awali Kurmanbek Bakiyev aliye rais kwa sasa.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hiyo kuhusu "Kirgizia" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.