Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Nyongeza: uz:Foiz |
d roboti Nyongeza: bs:Postotak |
||
Mstari 69: | Mstari 69: | ||
[[be-x-old:Адсотак]] |
[[be-x-old:Адсотак]] |
||
[[bg:Процент]] |
[[bg:Процент]] |
||
[[bs:Postotak]] |
|||
[[ca:Percentatge]] |
[[ca:Percentatge]] |
||
[[cs:Procento]] |
[[cs:Procento]] |
Pitio la 18:19, 3 Machi 2009
Asilimia ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.
Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.
Mfano
Mfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu?
Jibu: Jumla ni 250 hivyo 250 zachukuliwa kama asilimia mia moja. Sehemu ya mia moja yaani 1 % ni 2.5. Asilimia 65 ni 2.5 zidisha 65 jumla 162.5. Maana yake kuanzia maksi zisizopungua 163 mwanafunzi amepita.
Sehemu na asilimia
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:
Sehemu | Asilimia |
---|---|
Nusu | 50 % |
robo | 25 % |
robo tatu | 75 % |
theluthi | 33 % |
humusi | 20 % |
humusi mbili | 40 % |
ya kumi | 10 % |
Sehemu kama sudusi haifai vizuri kwa sababu asilimia yake ni 16.66 %.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |