Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: uz:Foiz
d roboti Nyongeza: bs:Postotak
Mstari 69: Mstari 69:
[[be-x-old:Адсотак]]
[[be-x-old:Адсотак]]
[[bg:Процент]]
[[bg:Процент]]
[[bs:Postotak]]
[[ca:Percentatge]]
[[ca:Percentatge]]
[[cs:Procento]]
[[cs:Procento]]

Pitio la 18:19, 3 Machi 2009

Asilimia ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.

Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.

Mfano

Mfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu?

Jibu: Jumla ni 250 hivyo 250 zachukuliwa kama asilimia mia moja. Sehemu ya mia moja yaani 1 % ni 2.5. Asilimia 65 ni 2.5 zidisha 65 jumla 162.5. Maana yake kuanzia maksi zisizopungua 163 mwanafunzi amepita.

Sehemu na asilimia

Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:

Sehemu Asilimia
Nusu 50 %
robo 25 %
robo tatu 75 %
theluthi 33 %
humusi 20 %
humusi mbili 40 %
ya kumi 10 %


Sehemu kama sudusi haifai vizuri kwa sababu asilimia yake ni 16.66 %.