Kaizari Macrinus : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: cs:Macrinus
d roboti Nyongeza: mk:Макрин
Mstari 32: Mstari 32:
[[la:Macrinus]]
[[la:Macrinus]]
[[lt:Makrinas]]
[[lt:Makrinas]]
[[mk:Макрин]]
[[mr:मॅक्रिनस]]
[[mr:मॅक्रिनस]]
[[nl:Macrinus]]
[[nl:Macrinus]]

Pitio la 20:06, 28 Februari 2009

Shaba inayoonyesha Kaizari Macrinus

Marcus Opellius Macrinus (takriban 165 – Juni 218) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 11 Aprili, 217 hadi tarehe 8 Juni, 218. Alimfuata Caracalla. Kabla Macrinus hajafa, mpwa wa Caracalla, Elagabalus alitangazwa kuwa Kaizari tarehe 18 Mei. Alimshinda Macrinus katika pigano la vita tarehe 8 Juni, na Macrinus aliuawa kisheria baadaye kidogo.