Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: jv:Kilomèter pesagi
d roboti Nyongeza: sc:Chilòmetru cuadradu
Mstari 74: Mstari 74:
[[ru:Квадратный километр]]
[[ru:Квадратный километр]]
[[sah:Км²]]
[[sah:Км²]]
[[sc:Chilòmetru cuadradu]]
[[sh:Kvadratni kilometar]]
[[sh:Kvadratni kilometar]]
[[sk:Štvorcový kilometer]]
[[sk:Štvorcový kilometer]]

Pitio la 05:35, 27 Februari 2009

Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja

Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.

Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:

  • eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
  • Mita ya mraba 1,000,000
  • Hektari 100
  • Ekari 247.105 381
  • Maili ya mraba 0.386 102

Au:

  • Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
  • Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
  • Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
  • Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047