Simu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: nl:Telefoontoestel |
d roboti Nyongeza: su:Telepon |
||
Mstari 77: | Mstari 77: | ||
[[sq:Telefoni]] |
[[sq:Telefoni]] |
||
[[sr:Телефон]] |
[[sr:Телефон]] |
||
[[su:Telepon]] |
|||
[[sv:Telefon]] |
[[sv:Telefon]] |
||
[[ta:தொலைபேசி]] |
[[ta:தொலைபேசி]] |
Pitio la 22:30, 22 Februari 2009
Simu ni chombo cha umeme. Mamtumizi ya simu, ni kwa ajili ya watu wawili waliokatika sehemu mbili tofauti na wanaweza kuongea. Bimaana ni chombo cha mawasiliano. Awali simu ilihitajika iuanganishwe na nyaya. Lakini leo hii simu inaweza kutumwa kwa kutumia redio. Hii nayo inaitwa nyayatupu, siwaya au simu bila waya.
Watu wengi wanaamini kuwa sumu iligunduliwa mnamo 1876 na Alexander Graham Bell. Alikuwa mtu mwenye umri wa miaka 29 aliyeishi nchini Marekani akiwa kama Muuskoti. Lakini Antonio Meucci alianzisha na kuanza kutoa matumizi ya simu toka kunako mwaka wa 1871 huko Marekani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |