Adamawa (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: yo:Ìpínlẹ̀ Adamawa
d roboti Ondoa: ko:아다마와 주
Mstari 20: Mstari 20:
[[it:Adamawa (Nigeria)]]
[[it:Adamawa (Nigeria)]]
[[ja:アダマワ州 (ナイジェリア)]]
[[ja:アダマワ州 (ナイジェリア)]]
[[ko:아다마와 주]]
[[nl:Adamawa (staat)]]
[[nl:Adamawa (staat)]]
[[pl:Adamawa (stan)]]
[[pl:Adamawa (stan)]]

Pitio la 19:25, 21 Februari 2009

Mahali pa jimbo la Adamawa

Adamawa ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 3.7 (2005) na eneo la 36,917 km². Mji mkuu ni Yola na mji mkubwa ni Jimeta mwenye wakazi mit 248,166 (2005).

Jimbo liko katika mashariki ya Nigeria mpakani wa Kamerun. Limepakana na majimbo ya Borno, Gombe na Taraba.

Adamawa ilianzishwa mwaka 1976 kama jimbo kwa jina la Gongola kutokana maeneo ya jimbo la awali la Kaskazini-Mashariki. 1991 jina likabadilishwa kuwa Adamawa.


 
Majimbo ya Nigeria
Abia | Abuja Federal Capital Territory | Adamawa | Akwa Ibom | Anambra | Bauchi | Bayelsa | Benue | Borno | Cross River | Delta | Ebonyi | Edo | Ekiti | Enugu | Gombe | Imo | Jigawa | Kaduna | Kano | Katsina | Kebbi | Kogi | Kwara | Lagos | Nasarawa | Niger | Ogun | Ondo | Osun | Oyo | Plateau | Rivers | Sokoto | Taraba | Yobe | Zamfara