Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ms:Kilometer persegi |
d roboti Badiliko: jv:Kilomèter pesagi |
||
Mstari 53: | Mstari 53: | ||
[[it:Chilometro quadro]] |
[[it:Chilometro quadro]] |
||
[[ja:平方キロメートル]] |
[[ja:平方キロメートル]] |
||
[[jv: |
[[jv:Kilomèter pesagi]] |
||
[[ka:კვადრატული კილომეტრი]] |
[[ka:კვადრატული კილომეტრი]] |
||
[[km:គីឡូម៉ែត្រការ៉េ]] |
[[km:គីឡូម៉ែត្រការ៉េ]] |
Pitio la 09:52, 21 Februari 2009
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047