Bukoba (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: da:Bukoba |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Bukoba''' ni mji nchini [[Tanzania]] ambao ni makao makuu ya [[Mkoa wa Kagera]]. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [http://www.tanzania.go.tz/census/districts/bukobaurban.htm]. |
'''Bukoba''' ni mji nchini [[Tanzania]] ambao ni makao makuu ya [[Mkoa wa Kagera]]. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [http://www.tanzania.go.tz/census/districts/bukobaurban.htm]. |
||
Bukoba iko kando la [[Ziwa Viktoria Nyanza]] upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa. |
|||
{{mbegu}} |
|||
==Marejeo== |
|||
{{marejeo}} |
|||
{{tanzania-geo-stub}} |
|||
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}} |
|||
[[Category:Mkoa wa Kagera|B]] |
|||
[[Category:Wilaya za Mkoa wa Kagera|B]] |
|||
[[Category:Miji ya Tanzania]] |
[[Category:Miji ya Tanzania]] |
||
[[da:Bukoba]] |
[[da:Bukoba]] |
Pitio la 09:35, 19 Februari 2009
Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221 [1].
Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.
Marejeo
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bukoba (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |
Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania | ||
---|---|---|
Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye |