Tours : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: gl:Tours
d roboti Nyongeza: cy:Tours
Mstari 16: Mstari 16:
[[ceb:Tours]]
[[ceb:Tours]]
[[cs:Tours]]
[[cs:Tours]]
[[cy:Tours]]
[[da:Tours]]
[[da:Tours]]
[[de:Tours]]
[[de:Tours]]

Pitio la 23:10, 18 Februari 2009

Daraja la mto Loire mjini Tours

Tours ni mji wa Ufaransa ya kati mwenye wakazi 143,000. Uko kando la mto Loire.

Mji unajulikana kihistoria kutokana na askofu Martin wa Tours (mnamo 370) anayekumbukwa kama mtakatifu katika kanisa katoliki.

Mwaka 732 mfalme wa Wafranki Karolo Martell alishinda jeshi la Waarabu katika mapigano ya Tours na Poitiers na kuzuia uenezaji wa Uislamu katika Ulaya ya Magharibi.