Nathari : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Nyongeza: ms:Prosa
Mstari 45: Mstari 45:
[[lv:Proza]]
[[lv:Proza]]
[[mk:Проза]]
[[mk:Проза]]
[[ms:Prosa]]
[[nl:Proza]]
[[nl:Proza]]
[[nn:Prosa]]
[[nn:Prosa]]

Pitio la 04:23, 7 Februari 2009

Nathari ni tawi moja la fasihi andishi. Tofauti na tenzi au ushairi unaoleta ujumbe wake kwa umbo ya mabeti nathari haina umbo maalumu au viwango vya muundo au taratibu. Hivyo inaweza kufanana na mazungumzo ya kila siku.

Nathari inafaa kwa habari na masimulizi. Inatumiwa kwenye magazeti, vitabu, jarida au kamusi.


Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.