Asilimia : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: id:Persentase |
d roboti Nyongeza: ms:Peratusan |
||
Mstari 91: | Mstari 91: | ||
[[lv:Procents]] |
[[lv:Procents]] |
||
[[mr:टक्का]] |
[[mr:टक्का]] |
||
[[ms:Peratusan]] |
|||
[[nl:Procent]] |
[[nl:Procent]] |
||
[[nn:Prosent]] |
[[nn:Prosent]] |
Pitio la 13:09, 6 Februari 2009
Asilimia ni njia ya kutaja uhusiano kati ya viasi viwili. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.
Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.
Mfano
Mfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu?
Jibu: Jumla ni 250 hivyo 250 zachukuliwa kama asilimia mia moja. Sehemu ya mia moja yaani 1 % ni 2.5. Asilimia 65 ni 2.5 zidisha 65 jumla 162.5. Maana yake kuanzia maksi zisizopungua 163 mwanafunzi amepita.
Sehemu na asilimia
Kuna viwango kadhaa za sehemu zinazokumbukwa kirahisi kwa asilimia:
Sehemu | Asilimia |
---|---|
Nusu | 50 % |
robo | 25 % |
robo tatu | 75 % |
theluthi | 33 % |
humusi | 20 % |
humusi mbili | 40 % |
ya kumi | 10 % |
Sehemu kama sudusi haifai vizuri kwa sababu asilimia yake ni 16.66 %.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |