Rasi ya Malay : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Nyongeza: sr:Малајско полуострво |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: hu:Maláj-félsziget Ondoa: uk:Малакка |
||
Mstari 41: | Mstari 41: | ||
[[he:חצי האי המלאי]] |
[[he:חצי האי המלאי]] |
||
[[hr:Malajski poluotok]] |
[[hr:Malajski poluotok]] |
||
[[hu:Maláj-félsziget]] |
|||
[[id:Semenanjung Malaya]] |
[[id:Semenanjung Malaya]] |
||
[[is:Malakkaskagi]] |
[[is:Malakkaskagi]] |
||
Mstari 61: | Mstari 62: | ||
[[th:คาบสมุทรมลายู]] |
[[th:คาบสมุทรมลายู]] |
||
[[tr:Malay Yarımadası]] |
[[tr:Malay Yarımadası]] |
||
[[uk:Малакка]] |
|||
[[vi:Bán đảo Mã Lai]] |
[[vi:Bán đảo Mã Lai]] |
||
[[wuu:马来亚半岛]] |
[[wuu:马来亚半岛]] |
Pitio la 00:51, 2 Februari 2009
Rasi ya Malay (Kimalay: Semenanjung Tanah Melayu) ni rasi kubwa katika Asia ya Kusini-Mashariki.
Ina pande tatu:
- Kaskazini-magharibi yake ni eneo la kusini kabia ya Myanmar (Burma)
- Katikati yake ni eneo la Uthai
- Kusini ni eneo la Malaysia ya magharibi
Kusini kabisa iko Singapor kwenye kisiwa karibu na ncha ya rasi
Jiografia
Rasi ya Malai iko kati ya Bahari Hindi na Pasifiki. Upande wa Pasifiki ni Ghuba ya Uthai na Bahari ya Uchina. Mlango wa Malakka unatenganisha rasi na kisiwa cha Sumatra
Rasi inaanza kwenye latitudo ya +13 na kuelekea kusini hadi latitudo ya +1. Urefu wake ni 1,555 km. Sehemu nyembamba iko katika sehemu ya Kithai yenye 60 km pekee.
Sura ya nchi ina tabia mbalimbali: milima, tambarare, maziwa, pwani na misitu minene.
Milima ya juu ni Gunung Tahan (2,187 m) hohe Gunung Korbu (2,184 m) nchini Malaysia. Katika tambarare za Uthai iko Khao Luang (1,786 m). Sehemu ya Myanmar kuna Recho Taung (1,330 m).
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |