Izazi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Iringa Vijijini]] katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 17,346 waishio humo. <ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/iringarural.htm|title=2002 Population and Housing Census General Report|publisher=Government of [[Tanzania]]|language=en|accessdate=2008-08-21}}</ref>
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la [[kata]] ya [[Wilaya ya Iringa Vijijini]] katika [[tarafa]] ya [[Ismani]], [[wilaya]] ya Iringa vijijini, [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]].

Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2002]], kabla kata haijamegwa, ilikuwa na wakazi wapatao 17,346.

Kwa sasa imebaki na vijiji vitatu tu, yaani Izazi, [[Makuka]] na [[Mnadani]], vyote vikiwa katika [[Bonde la Ufa]] kwenye [[bwawa la Mtera]] (ambalo likijaa kabisa liko katika [[mita]] 698.5 juu ya [[usawa wa bahari]]). Ni sehemu ya chini zaidi katika [[Nyanda za Juu]] Kusini mwa Tanzania.

Eneo ni kubwa sana na lenye [[rutuba]] lakini watu ni wachache hasa kutokana na uhaba wa [[mvua]] ambayo kwa kawaida inaishia [[milimita]] 300 kwa mwaka. Kwa sababu hiyohiyo [[kilimo]] kikuu ni cha [[mtama]].

Muhimu zaidi kiuchumi ni [[ufugaji]]: utovu wa [[ndorobo]] ulivutia kwanza [[Wasagara]] kutoka wilaya ya [[Kilosa]] (mwisho wa [[karne XIX]]), halafu [[Wamasai]] kutoka [[Mkoa wa Arusha]] (mwanzo wa [[karne XX]]). Ni vigumu kusema kama [[Wahehe]], watawala wa eneo hilo, walikuwa wanaishi huko kabla ya wote, au walihamia pamoja na Wasagara. Baada yao [[Wagogo]] wengi walihamia kutoka [[Mkoa wa Dodoma]]. Ndiyo makabila manne yaliyochangia zaidi mwanzo wa makazi.

Baada ya bwawa la [[Mtera]] kupatikana, [[uvuvi]] umekuwa kivutio kipya kwa watu kutoka Tanzania nzima, ingawa uwezekano wake unategemea wingi wa [[maji]].

Upande wa [[dini]], baada ya ile ya jadi, [[Waarabu]] waliohamia kutoka [[Yemen]] kwa ajili ya [[biashara]] na [[uwindaji]] wakati wa [[ukoloni]] wa [[Waingereza]] walileta [[Uislamu]]. Kuanzia mwaka [[1953]] [[Ukristo]] ulienea zaidi kwa juhudi za [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], halafu za [[Waanglikana]]. Siku hizi mchanganyiko wa watu umezidisha pia mchanganyiko wa madhehebu.


<ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/iringarural.htm|title=2002 Population and Housing Census General Report|publisher=Government of [[Tanzania]]|language=en|accessdate=2008-08-21}}</ref>


==Marejeo==
==Marejeo==

Pitio la 08:57, 1 Februari 2009

Izazi ni jina la kata ya Wilaya ya Iringa Vijijini katika tarafa ya Ismani, wilaya ya Iringa vijijini, Mkoa wa Iringa, Tanzania.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kabla kata haijamegwa, ilikuwa na wakazi wapatao 17,346.

Kwa sasa imebaki na vijiji vitatu tu, yaani Izazi, Makuka na Mnadani, vyote vikiwa katika Bonde la Ufa kwenye bwawa la Mtera (ambalo likijaa kabisa liko katika mita 698.5 juu ya usawa wa bahari). Ni sehemu ya chini zaidi katika Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania.

Eneo ni kubwa sana na lenye rutuba lakini watu ni wachache hasa kutokana na uhaba wa mvua ambayo kwa kawaida inaishia milimita 300 kwa mwaka. Kwa sababu hiyohiyo kilimo kikuu ni cha mtama.

Muhimu zaidi kiuchumi ni ufugaji: utovu wa ndorobo ulivutia kwanza Wasagara kutoka wilaya ya Kilosa (mwisho wa karne XIX), halafu Wamasai kutoka Mkoa wa Arusha (mwanzo wa karne XX). Ni vigumu kusema kama Wahehe, watawala wa eneo hilo, walikuwa wanaishi huko kabla ya wote, au walihamia pamoja na Wasagara. Baada yao Wagogo wengi walihamia kutoka Mkoa wa Dodoma. Ndiyo makabila manne yaliyochangia zaidi mwanzo wa makazi.

Baada ya bwawa la Mtera kupatikana, uvuvi umekuwa kivutio kipya kwa watu kutoka Tanzania nzima, ingawa uwezekano wake unategemea wingi wa maji.

Upande wa dini, baada ya ile ya jadi, Waarabu waliohamia kutoka Yemen kwa ajili ya biashara na uwindaji wakati wa ukoloni wa Waingereza walileta Uislamu. Kuanzia mwaka 1953 Ukristo ulienea zaidi kwa juhudi za Wakatoliki, halafu za Waanglikana. Siku hizi mchanganyiko wa watu umezidisha pia mchanganyiko wa madhehebu.


[1]

Marejeo

  1. "2002 Population and Housing Census General Report" (kwa Kiingereza). Government of Tanzania. Iliwekwa mnamo 2008-08-21. 


Kata za Wilaya ya Iringa Vijijini - Tanzania

Idodi | Ifunda | Ilolompya | Itunundu | Izazi | Kalenga | Kihanga | Kihorogota | Kising'a | Kiwere | Luhota | Lumuli | Lyamgungwe | Maboga | Magulilwa | Mahuninga | Malengamakali | Masaka | Mboliboli | Mgama | Migoli | Mlenge | Mlowa | Mseke | Nyang'oro | Nzihi | Ulanda | Wasa