Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: la:Mare Hadriaticum
d roboti Nyongeza: mg:Ranomasina adriatika
Mstari 54: Mstari 54:
[[lt:Adrijos jūra]]
[[lt:Adrijos jūra]]
[[lv:Adrijas jūra]]
[[lv:Adrijas jūra]]
[[mg:Ranomasina adriatika]]
[[mk:Јадранско Море]]
[[mk:Јадранско Море]]
[[mn:Адриатын тэнгис]]
[[mn:Адриатын тэнгис]]

Pitio la 23:58, 31 Januari 2009

Bahari ya Adria jinsi inavyoonekana kutoka angani
Ramani ya Adria

Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i

Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.

Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.

Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.