Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: la:Mare Hadriaticum |
d roboti Nyongeza: mg:Ranomasina adriatika |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
[[lt:Adrijos jūra]] |
[[lt:Adrijos jūra]] |
||
[[lv:Adrijas jūra]] |
[[lv:Adrijas jūra]] |
||
[[mg:Ranomasina adriatika]] |
|||
[[mk:Јадранско Море]] |
[[mk:Јадранско Море]] |
||
[[mn:Адриатын тэнгис]] |
[[mn:Адриатын тэнгис]] |
Pitio la 23:58, 31 Januari 2009
Bahari ya Adria au kwa kifupi "Adria" ni ghuba ya Mediteranea kati ya Rasi ya Italia na Rasi ya Balkani. i
Nchi zinazopakana nayo ni Italia, Slovenia, Kroatia, Bosnia na Herzegovina, Montenegro na Albania.
Adria huelekea kaskazini magharibi kutoka 40°N hadi 45° 45' N.. Urefu wake ni km 770 km na upana waka kwa wastani ni km 160. Sehemu nyembamba ni mlango wa Ortranto mwenye upana wa km 85. Eeno lake ni mnamo km² 160,000.
Mwambao wa kaskazini una visiwa vingi hasa mbele ya pwani la Kroatia.