Mtumiaji:Muddyb : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Nimebadilisha idadi ya kuhariri. Sasa nimefikia mara 5,026....
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Msanii muziki 2 <!-- See Wikipedia:WikiProject_Musicians -->
__NOTOC__
| Jina = Muddyb Blast Producer
{| cellpadding="10" cellspacing="8" style="width: 100%; background-color: #d2e7f7; border: 1px solid #8888aa; vertical-align: top;"
| Img = Muddyb.jpg
|-
| Img_capt = Muddyb Blast nikiwa kwenye pozi!
| style="width: 68%; background-color: #EFF8FF; border: 1px solid #8888aa; border-right-width:4px; border-bottom-width:4px; vertical-align: top;" rowspan="3" |
| Img_size =
</div><div style="font-family: Trebuchet MS, sans-serif; font-size: 9.5pt; text-align: justify;">
| Landscape =
<span id="coordinates"></span>
| Background = non_performing_personnel
Ninaitwa '''Muddyb Blast'''. Ninaishi [[Kiwalani]] Jijini '''[[Dar es Salaam]] '''[[Tanzania]]. Mimi ni "[[Wikipedia:Wakabidhi|Mkabidhi]]" katika Wikipedia hii na [[wikt:sw:Wiktionary:Wakabidhi|Wikamusi ya Kiswahili.]]
| Jina la kuzaliwa = Mohammed George
| Pia anajulikana kama = Muddyb<br>Blast Mnyamwanga<br>Mwanaharakati
| Amezaliwa = {{umri na tarehe ya kuzaliwa|1983|4|25|df=yes}}
| Amekufa =
| Asili yake = [[Kiwalani]], [[Dar es Salaam]]<br> [[Tanzania]]
| Ala = Synthesizer
| Aina ya sauti =
| Aina = [[Hip hop]]<br>[[Bongo Flava]]
| Kazi yake = [[Mtayarishaji wa rekodi]]<br>[[Mwanaharakati]]<br>[[Wikipedia|MwanaWikipedia]]
| Miaka ya kazi = 2004 - hadi leo
| Studio = [[Mitaa ya Kati Records]]
| Ameshirikiana na =
| Tovuti = [http://www.geocities.com/muddybtz Kwangu]
| Ala zinazojulikana =
}}
'''Mohammed George''' au '''Muddyb Blast Producer''' (nimezaliwa tar. [[25 Aprili]], [[1983]]) ni mwanaharakati wa kweli wa Wikipedia, niliyejitolea kuendeleza kamusi elezo huru ya Kiswahili kwa muda usiojulikana lini nitaacha kuchangia makala katika kamusi elezo hii ya Kiswahili. Ni mda sasa toka nijiunge na wikipedia ya Kiswahili, na nimekuwa nikifanya doria za hapa na pale katika wiki hii ya Kiswahili.
==Wasifu==
===Maisha ya Awali===
Nimezaliwa na kukulia [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Baba yangu ni mtu wa [[Tanga]] (kabila lake [[Wazigua|Mzigua]]), na mama yangu mtu wa Kilwa, Lindi (Myao). Nimesoma na kumalizia elimu yangu yote [[Dar es Salaam]] kwa wajanja [[Tanzania]].


Vilevile mimi ni mmoja wa wapenzi wa muziki na filamu duniani hakuna, ukibisha yauri yako lakini mie ndio nasonga mbele. Kwa sasa niko nafanya makamuzi yangu katika kampuni ya Bakhresa Food Products Limited, na vilevile katika wiki hii ya Kiswahili.
Ninapenda kuendeleza na kutangaza lugha ya [[Kiswahili]], pia napenda kuwakaribisha wote tushirikiane kuendeleza kamusi elezo hii ya [[Kiswahili]].


Pia, napenda kuwakaribisha mavijana wenzangu, mababu na mabibi wakiwemo na watoto wenye ufahamu wa kutumia zana za kisasa yaani Kompyuta, tushirikiane kuendeleza kamusi ya Waswahili!
Unaweza kuniuliza swali lolote upendalo, na nitakujibu kama najua. Na pia mimi ni mtu ninayepatikana hewani saa zote, kasoro jumapili tu. Nawakaribisha ndugu wote katika Kamusi elezo huru ya [[Kiswahili]]. Na hadi leo tuna makala zipatazo '''[[Special:Statistics|{{NUMBEROFARTICLES}}]]''' katika Wikipedia hii ya Kiswahili..
==Maisha ya Kidunia==
Makuzi yangu yote yalikuwa jijini Dar es Salaam Tanzania, na sijawahi kwenda mkoa wowote ule wa nchini kwetu. Ila najivunia kwa kuzaliwa katika jiji lenye kila kitu, bahari, majumba ya sanaa, starehe mbalimbali, wanamuziki wenye akili kibawa wapo huku, serikali halisi ipo huku, watoto wazuri (wachumba) na mambo mengine mengi tu yapo huku.


Hapo awali , nilikuwa na jina la utani lililojulikana kama Muddy Baby, kwasababu nilikuwa bwana mdogo niliokuwa hatari katika maswala ya kuruka sarakasi (jamani niliwatingisha!!) eeh usipime.. Kadri miaka inavyozidi kwenda majina yanaongezeka, baadaye wakaniita Muddyb kiwakilisho cha neno baby wakalikata ikawa b yaani Muddyb ndio hadi sasa natumia jina hilo.
===Lugha===
{{babel|sw|en-2}}


Blast lilikuja baadaye baada ya kuwa napenda sana nyimbo za [[Hip hop]] kupindukia, na vile nikiwa naziimba ndio masela wangu wakaniita Blast Mnyamwezi (Mnyamwezi maanake mtu anayependa hip hop ya kweli) na nikawa natengeneza ala za muziki wa hip hop bila ya Bongo Flava!! Basi ebwanaee toka kipindi hicho ikawa noma mtu wangu hadi leo hii.
===Masanduku===
{{User Mkabidhi}}{{User user-tz}}{{User user-lives-dar}}{{User user-web}}{{User user-most-edit}}{{User user-wiki-member}}{{User Mail}}{{User Tarehe}}{{User Commons}}{{User Utulivu zero}}{{User Furaha}}{{User Mstarabu}}{{User Penda}}{{User Fasaha}}{{User Doria}}{{User Changia|5000|Muddyb Blast Producer|total=yes}}{{User Flickr|muddyb_blast}}


==Maisha ya katika wikipedia na michango yake==
Muddyb nilijiunga rasmi na wikipedia mnamo tar. [[18 Agosti]] mwaka 2007, nimenuiya kuendeleza mradi huu wa wiki na nitaendelea mpaka sijui lini yaani. Toka kipindi hicho nilichoingia hapa nimetoa michango yangu kadhaa, hebu soma hapo chini:


*Hadi sasa nimehariri mara '''5,321'''
</div>
*Pia unaweza kuangalia michango yangu endelevu kwa kukong'oli hapo chini:
| style="width: 30%; background-color: #EFF8FF; border: 1px solid #8888aa; border-right-width:4px; border-bottom-width:4px; vertical-align: top; height: 10px;" |
<center>
<div style="float: center; margin: 1px; padding: 7px; background: #F9F9F9; border: 1px solid #999999; width: 220px;">[[Image:Muddyb.jpg|220px]]</div>
</center>
'''Muddyb''' au '''Blast Mnyamwezi''' (sio kabila)
|-
| style="width: 30%; background-color: #EFF8FF; border: 1px solid #8888aa; border-right-width:4px; border-bottom-width:4px; vertical-align: top;" |
<div style="font-family: Trebuchet MS, sans-serif; font-size: 9.5pt; text-align: left;">


Angalia michango yangu endelevu:
====Vitu Ninavyo Penda====
Ngoja kwanza. Nitakuurodheshea!!


*[[Maalum:Michango/Muddyb_Blast_Producer|Michango Yangu]]
|-
| style="width: 30%; background-color: #EFF8FF; border: 1px solid #8888aa; border-right-width:4px; border-bottom-width:4px; vertical-align: top;" |
====Picha Ninayoipenda====
<div style="clear: both"></div><div style="font-family: Trebuchet MS, sans-serif; font-size: 9.5pt; text-align: left;">
'''Mrembo wa katika filamu ya Matrix Reloaded'''
<br/><center>
<div style="float: center; margin: 1px; padding: 7px; background: #F9F9F9; border: 1px solid #999999; width: 220px;">[[Image:Monica Bellucci 2003.jpg|220px]]</div></center>
Sio rahisi kwa m2 wa kawaida kumjua huyu mama, yaani m2 anayeangalia filamu bila kufuatilia nyendo za mwigizaji! Hapa tunampata mwanamama kutoka katika filamu ya The Passion of the Christ, filamu hiii mwanamama huyu alicheza kama Mary Magdalene, vilevile Persephone kutoka katika filamu ya The Matrix Reloaded ambayo humu alicheza kama mke wa Merovingian, ni mtu ambaye alikuwa akimmiliki mtengenezaji funguo (key maker), kama uliwahi kuiona sehemu hiyo! Endapo utataka kujua zaidi kuhusu mwanamama huyu [[Monica Bellucci|hebu kong'oli hapa upoate kujua zaidi.]]


Ukiwa unaswali lolote kuhusiana na wikipedia hii nitakueleza kama hilo swali nalijua namna ya kulijibu. Jamani karibuni.
===Maneno Mapya ya Kiswahili Mtaani===
==Masanduku vya Mtumiaji==
* Ku-kulupuka - Kujifanya unajua wakati hujui
{{User sw}}{{User en-2}}
* Ku-bamba - Kuwa na Umaarufu
{{User Mkabidhi}}{{User user-tz}}{{User user-lives-dar}}{{User user-web}}{{User user-most-edit}}{{User user-wiki-member}}{{User Mail}}{{User Tarehe}}{{User Commons}}{{User Utulivu zero}}{{User Furaha}}{{User Mstarabu}}{{User Penda}}{{User Fasaha}}{{User Doria}}{{User Changia|5000|Muddyb Blast Producer|total=yes}}{{User Flickr|muddyb_blast}}
* Shobo - Kujipendekeza, Kujifanya mnajuajua mtu
* Unyunyu - Manukato au pafyumu
* Matawi ya Juu au Chini - Mambo safi, Mtu aliyefanikiwa
* Mnyamwezi - Mtu wa Majuu, Mtu asiyependa Kufuatilia Mambo ya Watu...
|-
| style="background-color: #EFF8FF; border: 1px solid #8888aa; border-right-width:4px; border-bottom-width:4px;" colspan="2" |
<div style="font-family: Trebuchet MS, sans-serif; font-size: 9.5pt; text-align: left;">
===Michango Yangu===
* Hii [[/Makala|orodha ya michango]] ambayop ipo tayari
* Hii ni [[Special:Contributions/Muddyb_Blast_Producermichango|michango yangu]] endelevu
====Makala ya Wiki====
[[Image:Ukaguzi Auschwitz.jpg|thumb|right|300px|Ukaguzi wa Wayahudi waliotoka katika treni katika [[Auschwitz]] mnamo Mei-Juni 1944<br><small>Watu wenye vazi ya kijeshi ni wanaSS; wenye nguo za milia ni wafungwa wa kambi waliochaguliwa kupokea mizigo; wenye nguo ya kiraia ni watu Wayahudi walioondoka sasa hivi katika treni; mbele wakinamama na watoto watakaopelekwa mara moja kwenye vyumba vya gesi; nyuma wanaume watakaoangaliwa na madaktari kama wanafaa kwa kazi au la; picha za aina hii zilipigwa na wanaSS kama kumbukumbu ya binafsi</small>]]
'''Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya''' (pia [[Kiingereza]]/[[Kigiriki]]: '''Holocaust''', [[Kiebrania]] '''Shoah''' '''השואה''') yalikuwa mauaji ya [[Wayahudi]] milioni 5-6 wa [[Ulaya]] wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] kati ya 1940 na 1945. Mauaji haya yalipangwa na kutekelezwa na serikali ya [[Ujerumani]] chini ya [[Adolf Hitler]] kwa msaada wa serikali za nchi zilizofungamana na Ujerumani au zilizokuwa chini ya jeshi la Ujerumani.

Mauaji haya yalitekelezwa kwa njia ya
* kuwapiga watu risasi,
* kuwafunga katika makambi bila chakula na madawa hadi wafe kwa njaa na
* kuwaua kwa gesi ya sumu katika makambi maalumu.


Ili ujue nini kilitokea, kong'oli [[Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya|hapa]] usome zaidi habari hii!!!
==Viungo vya nje==
* [http://www.geocities.com/muddybtz Tovuti Yangu Rasmi]
{{Meta|User:Muddyb Blast Producer}}
{{Commons|User:Muddyb Blast Producer}}




==Viungo vya Nje==
*[htpp://www.geocities.com/muddybtz/ Tovuti Rasmi]





Pitio la 08:11, 16 Januari 2009

Muddyb Blast Producer
Muddyb Blast nikiwa kwenye pozi!
Muddyb Blast nikiwa kwenye pozi!
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Mohammed George
Pia anajulikana kama Muddyb
Blast Mnyamwanga
Mwanaharakati
Amezaliwa 25 Aprili 1983 (1983-04-25) (umri 40)
Asili yake Kiwalani, Dar es Salaam
Tanzania
Aina ya muziki Hip hop
Bongo Flava
Kazi yake Mtayarishaji wa rekodi
Mwanaharakati
MwanaWikipedia
Ala Synthesizer
Miaka ya kazi 2004 - hadi leo
Studio Mitaa ya Kati Records
Tovuti Kwangu

Mohammed George au Muddyb Blast Producer (nimezaliwa tar. 25 Aprili, 1983) ni mwanaharakati wa kweli wa Wikipedia, niliyejitolea kuendeleza kamusi elezo huru ya Kiswahili kwa muda usiojulikana lini nitaacha kuchangia makala katika kamusi elezo hii ya Kiswahili. Ni mda sasa toka nijiunge na wikipedia ya Kiswahili, na nimekuwa nikifanya doria za hapa na pale katika wiki hii ya Kiswahili.

Wasifu

Maisha ya Awali

Nimezaliwa na kukulia Dar es Salaam, Tanzania. Baba yangu ni mtu wa Tanga (kabila lake Mzigua), na mama yangu mtu wa Kilwa, Lindi (Myao). Nimesoma na kumalizia elimu yangu yote Dar es Salaam kwa wajanja Tanzania.

Vilevile mimi ni mmoja wa wapenzi wa muziki na filamu duniani hakuna, ukibisha yauri yako lakini mie ndio nasonga mbele. Kwa sasa niko nafanya makamuzi yangu katika kampuni ya Bakhresa Food Products Limited, na vilevile katika wiki hii ya Kiswahili.

Pia, napenda kuwakaribisha mavijana wenzangu, mababu na mabibi wakiwemo na watoto wenye ufahamu wa kutumia zana za kisasa yaani Kompyuta, tushirikiane kuendeleza kamusi ya Waswahili!

Maisha ya Kidunia

Makuzi yangu yote yalikuwa jijini Dar es Salaam Tanzania, na sijawahi kwenda mkoa wowote ule wa nchini kwetu. Ila najivunia kwa kuzaliwa katika jiji lenye kila kitu, bahari, majumba ya sanaa, starehe mbalimbali, wanamuziki wenye akili kibawa wapo huku, serikali halisi ipo huku, watoto wazuri (wachumba) na mambo mengine mengi tu yapo huku.

Hapo awali , nilikuwa na jina la utani lililojulikana kama Muddy Baby, kwasababu nilikuwa bwana mdogo niliokuwa hatari katika maswala ya kuruka sarakasi (jamani niliwatingisha!!) eeh usipime.. Kadri miaka inavyozidi kwenda majina yanaongezeka, baadaye wakaniita Muddyb kiwakilisho cha neno baby wakalikata ikawa b yaani Muddyb ndio hadi sasa natumia jina hilo.

Blast lilikuja baadaye baada ya kuwa napenda sana nyimbo za Hip hop kupindukia, na vile nikiwa naziimba ndio masela wangu wakaniita Blast Mnyamwezi (Mnyamwezi maanake mtu anayependa hip hop ya kweli) na nikawa natengeneza ala za muziki wa hip hop bila ya Bongo Flava!! Basi ebwanaee toka kipindi hicho ikawa noma mtu wangu hadi leo hii.

Maisha ya katika wikipedia na michango yake

Muddyb nilijiunga rasmi na wikipedia mnamo tar. 18 Agosti mwaka 2007, nimenuiya kuendeleza mradi huu wa wiki na nitaendelea mpaka sijui lini yaani. Toka kipindi hicho nilichoingia hapa nimetoa michango yangu kadhaa, hebu soma hapo chini:

  • Hadi sasa nimehariri mara 5,321
  • Pia unaweza kuangalia michango yangu endelevu kwa kukong'oli hapo chini:

Angalia michango yangu endelevu:

Ukiwa unaswali lolote kuhusiana na wikipedia hii nitakueleza kama hilo swali nalijua namna ya kulijibu. Jamani karibuni.

Masanduku vya Mtumiaji

sw Mtumiaji huyu ni mwongeaji wa Kiswahili Fasaha.
en-2 This user is able to contribute with an intermediate level of English.


Mtumiaji huyu ni Mkabidhi katika Wikipedia ya Kiswahili. (hakikisha)
Mtumiaji huyu Anatokea Tanzania.
Mtumiaji huyu Anaishi Dar es Salaam.
Mtumiaji huyu ana tovuti, Ambayo inaweza kupatikanika hapa.
Mtumiaji huyu anatumia muda wake mwingi kuhariri Wikipedia.
Mtumiaji huyu ni Mwanachama wa
Wikipedia.
Leo ni tarehe 28 Machi 2024.
Mtumiaji huyu ana ukurasa kwenye Wikimedia Commons.
Mtumiaji huyu hana utulivu katika sela ya uharibifu wa Wikipedia.
Mtumiaji huyu ana furaha.
:-]
Mtumiaji huyu ni mstaarabu.
Mtumia huyu anapenda masanduku ya watumiaji.
Wiki-N Mtumiaji huyu ni mhariri wa Kiswahili fasaha katika Wikipedia.
Mtumiaji huyu ni Mwanadoria katika sehemu ya kurasa mpya.
5,000+


Viungo vya Nje

  • [htpp://www.geocities.com/muddybtz/ Tovuti Rasmi]