Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:조셉 퓰리처
Mstari 26: Mstari 26:
[[it:Joseph Pulitzer]]
[[it:Joseph Pulitzer]]
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]]
[[ja:ジョーゼフ・ピューリツァー]]
[[ko:조셉 퓰리처]]
[[lt:Jozefas Pulitzeris]]
[[lt:Jozefas Pulitzeris]]
[[mk:Џозеф Пулицер]]
[[mk:Џозеф Пулицер]]

Pitio la 15:48, 29 Desemba 2008

Joseph Pulitzer

Joseph Pulitzer (10 Aprili, 184729 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.