Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: zh:歐姆古溫酋長國 |
d roboti Nyongeza: ro:Umm Al-Qaiwain, tl:Umm al-Qaiwain Badiliko: ru:Умм-Аль-Кайвайн (город) |
||
Mstari 51: | Mstari 51: | ||
[[pms:Umm al-Quwain]] |
[[pms:Umm al-Quwain]] |
||
[[pt:Umm al Qaywayn]] |
[[pt:Umm al Qaywayn]] |
||
[[ro:Umm Al-Qaiwain]] |
|||
[[ru:Умм-Аль- |
[[ru:Умм-Аль-Кайвайн (город)]] |
||
[[sv:Umm al-Qaiwain]] |
[[sv:Umm al-Qaiwain]] |
||
[[ta:உம் அல் குவெய்ன்]] |
[[ta:உம் அல் குவெய்ன்]] |
||
[[tl:Umm al-Qaiwain]] |
|||
[[zh:歐姆古溫酋長國]] |
[[zh:歐姆古溫酋長國]] |
Pitio la 18:52, 28 Desemba 2008
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain