Victoria (Shelisheli) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 29: Mstari 29:
[[hr:Victoria, Sejšeli]]
[[hr:Victoria, Sejšeli]]
[[ht:Viktorya]]
[[ht:Viktorya]]
[[hu:Victoria (Seychelle-szigetek)]]
[[id:Victoria, Seychelles]]
[[id:Victoria, Seychelles]]
[[it:Port Victoria]]
[[it:Port Victoria]]

Pitio la 12:00, 28 Desemba 2008

Mji wa Victoria
Mbele: mfano mdogo wa mnara wa "Big Ben" wa London katika mji wa Victoria; nyuma jengo la wizara ya sheria

Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702. Ni mji mkuu mdogo kabisa wa nchi zote za dunia.

Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.