Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: bs:Istočnoslavenski jezici |
d roboti Nyongeza: af:Oos-Slawiese taalfamilie |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
[[Category:Lugha za Kislavoni]] |
[[Category:Lugha za Kislavoni]] |
||
[[af:Oos-Slawiese taalfamilie]] |
|||
[[ast:Eslavu Oriental]] |
[[ast:Eslavu Oriental]] |
||
[[bg:Източнославянски езици]] |
[[bg:Източнославянски езици]] |
Pitio la 07:49, 8 Desemba 2008
Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelarus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.
Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.
Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |