Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 31: Mstari 31:
[[pl:Auguste Beernaert]]
[[pl:Auguste Beernaert]]
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]]
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]]
[[ru:Беернар, Огюст]]
[[sv:Auguste Beernaert]]
[[sv:Auguste Beernaert]]
[[vls:August Beernaert]]
[[vls:August Beernaert]]

Pitio la 10:44, 1 Desemba 2008

Auguste Beernaert
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 18296 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.