Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: pt:Auguste Marie François Beernaert |
d roboti Nyongeza: ru:Беернар, Огюст |
||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
[[pl:Auguste Beernaert]] |
[[pl:Auguste Beernaert]] |
||
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]] |
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]] |
||
[[ru:Беернар, Огюст]] |
|||
[[sv:Auguste Beernaert]] |
[[sv:Auguste Beernaert]] |
||
[[vls:August Beernaert]] |
[[vls:August Beernaert]] |
Pitio la 10:44, 1 Desemba 2008
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |