Poloni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
SpBot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: kv:Полоний |
d roboti Badiliko: vi:Poloni |
||
Mstari 98: | Mstari 98: | ||
[[tr:Polonyum]] |
[[tr:Polonyum]] |
||
[[uk:Полоній]] |
[[uk:Полоній]] |
||
[[vi: |
[[vi:Poloni]] |
||
[[zh:钋]] |
[[zh:钋]] |
Pitio la 09:06, 1 Desemba 2008
Poloni (Polonium) | |
---|---|
Jina la Elementi | Poloni (Polonium) |
Alama | Po |
Namba atomia | 84 |
Mfululizo safu | Simetali |
Uzani atomia | 209 |
Valensi | 2, 8, 18, 32, 18, 6 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 527 K (254 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 1235 K (962 °C) |
Hali maada | mango |
Mengineyo | Poloni ni nururifu; nusumaisha ya isotopi zake ni kati ya mikrosekondi hadi miaka 103 |
Poloni (kutoka kilatini Polonia kwa nchi ya Poland) ni nusumetali au metaloidi nururifu yenye namba atomia 84 katika mfumo radidia. Uzani atomia ni 209.
Poloni ni elementi nururifu sana na hatari kwa afya. Isotopi inayopatikana zaidi ni 210Po yenye nusumaisha ya siku 138 inayobungua kuwa metali ya risasi.
Kutokana na nusumaisha fupi ni elementi haba. Kiasili hupatikana kwa viwango vidogo sana katika mitapo ya Urani inapotokea kutokana na mbunguo wa Radi na Radoni. Siku hizi takriban gramu 100 zatengenezwa kila mwaka kwa kutupia neutroni kwa bismuti katika maabara hasa Urusi.
Poloni ilitambuliwa pamoja na Radi mara ya kwanza 1898 na mwanakemia Mpoland Marie Curie na mume wake Mfaransa Pierre.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |