Jimmy Wales : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: et:Jimmy Wales
d roboti Nyongeza: arz:جيمى ويلز
Mstari 14: Mstari 14:
[[af:Jimmy Wales]]
[[af:Jimmy Wales]]
[[ar:جيمي ويلز]]
[[ar:جيمي ويلز]]
[[arz:جيمى ويلز]]
[[ast:Jimmy Wales]]
[[ast:Jimmy Wales]]
[[az:Cimmi Uels]]
[[az:Cimmi Uels]]

Pitio la 04:21, 27 Novemba 2008

Faili:P1030255.jpg
Wales akizungumza katika mkutano wa Wikimania wa mwaka wa 2007.

Jimmy "Jimbo" Donal Wales (amezaliwa tar. 7 Agosti, 1966) ni mwanzilishi na ni rais wa sasa wa Wikimedia Foundation. Anafahamika zaidi kama mwanzilishi wa kamusi elezo huru ya Wikipedia. Kwa sasa anaishi mjini St. Petersburg, Florida.

Hapo awali aliunda kamusi elezo huru ya kwanza iliyojulikana kwa jina la Nupedia. Kisha baadaye akaanzisha mradi mpya wa Wikipedia, ambayo hapo mwanzo ulibidi uwe katika moja kati ya mradi wa Nupedia. Badala yake mradi mpya wa Wikipedia ukapata shauku zaidi na ukaja kuwa miongoni mwa miradi mikubwa mtandaoni kama ulivyo leo hii.

Kigezo:Link FA