Visiwa vya Solomon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: pms:Ìsole Salomon
d roboti Badiliko: la:Insulae Salomonis
Mstari 112: Mstari 112:
[[ku:Giravên Salomon]]
[[ku:Giravên Salomon]]
[[kw:Ynysow Salamon]]
[[kw:Ynysow Salamon]]
[[la:Insulae Salomonicae]]
[[la:Insulae Salomonis]]
[[lb:Salomonen]]
[[lb:Salomonen]]
[[lij:Isoe Salomon]]
[[lij:Isoe Salomon]]

Pitio la 01:06, 27 Novemba 2008

Visiwa vya Solomon
Ramani ya Solomoni

Visiwa vya Solomon ni nchi ya visiwani ya Melanesia katika Bahari ya Pasifiki upande wa mashariki ya Papua Guinea Mpya. Eneo lake ni visiwa mnamo 1000 vyenye 28,400 km². Mji mkuu ni Honiara kwenye kisiwa cha Guadalcanal.

Visiwa vimekaliwa tangu miaka maelfu na Wamelanesia. Katika karne ya 19 vilikuwa koloni la Ujerumani na Uingereza. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia mapigano makali kati ya Japani na Marekani yalipiganiwa hapo.

Visiwa vilipata uhuru 1978.