Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: simple:Albert Schweitzer |
d roboti Nyongeza: te:ఆల్బర్ట్ స్విట్జర్ |
||
Mstari 51: | Mstari 51: | ||
[[sl:Albert Schweitzer]] |
[[sl:Albert Schweitzer]] |
||
[[sv:Albert Schweitzer]] |
[[sv:Albert Schweitzer]] |
||
[[te:ఆల్బర్ట్ స్విట్జర్]] |
|||
[[tr:Albert Schweitzer]] |
[[tr:Albert Schweitzer]] |
||
[[uk:Швейцер Альберт]] |
[[uk:Швейцер Альберт]] |
Pitio la 22:46, 25 Novemba 2008
Albert Schweitzer (14 Januari, 1875 – 4 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.