Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: he:איגרת יוחנן השלישית |
||
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
[[fi:Kolmas Johanneksen kirje]] |
[[fi:Kolmas Johanneksen kirje]] |
||
[[fr:Troisième épître de Jean]] |
[[fr:Troisième épître de Jean]] |
||
[[he:איגרת יוחנן השלישית]] |
|||
[[id:Surat Yohanes yang Ketiga]] |
[[id:Surat Yohanes yang Ketiga]] |
||
[[it:Terza lettera di Giovanni]] |
[[it:Terza lettera di Giovanni]] |
Pitio la 23:30, 20 Novemba 2008
Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mwandishi
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.
Mlengwa
Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili