Hipparchos wa Nikaia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:히파르쿠스
d roboti Badiliko: no:Hipparkhos (astronom)
Mstari 37: Mstari 37:
[[lt:Hiparchas (astronomas)]]
[[lt:Hiparchas (astronomas)]]
[[nl:Hipparchus (astronoom)]]
[[nl:Hipparchus (astronoom)]]
[[no:Hipparkos (astronom)]]
[[no:Hipparkhos (astronom)]]
[[pl:Hipparchos z Nikei]]
[[pl:Hipparchos z Nikei]]
[[pt:Hiparco]]
[[pt:Hiparco]]

Pitio la 22:56, 20 Novemba 2008

Faili:Hipparchos 1.jpeg
Hipparchos

Hipparchos (Kigiriki Ἵππαρχος; takr. 190 KK hadi takr. 120 KK) alikuwa mtaalamu wa falaki, jiografia na hisabati wa Ugiriki ya Kale.

Alizaliwa mjini Nikaia (leo: Iznik katika Uturuki) akafariki kwenye kisiwa cha Rhodos. Hutazamiwa kama mwanafalaki muhimu kabisa wa nyakati za kale.

Aliorodhesha nyota 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria kupatwa kwa jua na kukutabiri.

Katika hisabati alianzisha mbinu za kijiometria kwa mfano mgawanyo wa duara kuwa na nyuzi 360.

Kigezo:Link FA