Johannes Stark : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ku:Johannes Stark
d roboti Nyongeza: ko:요하네스 슈타르크
Mstari 33: Mstari 33:
[[it:Johannes Stark]]
[[it:Johannes Stark]]
[[ja:ヨハネス・シュタルク]]
[[ja:ヨハネス・シュタルク]]
[[ko:요하네스 슈타르크]]
[[ku:Johannes Stark]]
[[ku:Johannes Stark]]
[[mr:योहानेस श्टार्क]]
[[mr:योहानेस श्टार्क]]

Pitio la 20:43, 19 Novemba 2008

Faili:Johannes Stark.png
Johannes Stark, 1919

Johannes Stark (15 Aprili, 187421 Juni, 1957) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza maswali ya umeme. Mwaka wa 1905 aligundua athari ya Doppler katika mionzi maalumu. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.