Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Limba greacă comună
d roboti Nyongeza: ru:Койне
Mstari 31: Mstari 31:
[[pt:Koiné]]
[[pt:Koiné]]
[[ro:Limba greacă comună]]
[[ro:Limba greacă comună]]
[[ru:Койне]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sv:Koine]]
[[sv:Koine]]

Pitio la 06:29, 18 Novemba 2008

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".