Shemasi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tr:Diyakon
d roboti Nyongeza: tl:Diyakono Badiliko: id:Diaken
Mstari 20: Mstari 20:
[[hr:Đakon]]
[[hr:Đakon]]
[[hu:Diakónus]]
[[hu:Diakónus]]
[[id:Diakon]]
[[id:Diaken]]
[[is:Djákni]]
[[is:Djákni]]
[[it:Diacono]]
[[it:Diacono]]
Mstari 39: Mstari 39:
[[sr:Ђакон]]
[[sr:Ђакон]]
[[sv:Diakon]]
[[sv:Diakon]]
[[tl:Diyakono]]
[[tr:Diyakon]]
[[tr:Diyakon]]
[[uk:Дяк]]
[[uk:Дяк]]

Pitio la 11:56, 28 Oktoba 2008

Shemasi ni kiongozi wa Kanisa anayeunganisha wenye daraja za juu na walei. Ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika Kanisa Katoliki na madhehebu mengine kadhaa. Unatolewa na Askofu kwa kumwekea mtu mikono na kumuombea ili atoe huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya upadri.