Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: es:Pável Cherenkov |
d roboti Nyongeza: mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह |
||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
[[ja:パーヴェル・チェレンコフ]] |
[[ja:パーヴェル・チェレンコフ]] |
||
[[lt:Pavelas Čerenkovas]] |
[[lt:Pavelas Čerenkovas]] |
||
[[mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह]] |
|||
[[nl:Pavel Tsjerenkov]] |
[[nl:Pavel Tsjerenkov]] |
||
[[pl:Paweł Czerenkow]] |
[[pl:Paweł Czerenkow]] |
Pitio la 11:22, 21 Oktoba 2008
Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 1904 – 6 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |