Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
OKBot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: pl:Umm al-Kajwajn (emirat) |
d roboti Badiliko: zh:歐姆古溫酋長國 |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
[[sv:Umm al-Qaiwain]] |
[[sv:Umm al-Qaiwain]] |
||
[[ta:உம் அல் குவெய்ன்]] |
[[ta:உம் அல் குவெய்ன்]] |
||
[[zh: |
[[zh:歐姆古溫酋長國]] |
Pitio la 13:18, 20 Oktoba 2008
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain