Samueli I : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
New page: '''Kitabu cha kwanza cha Samuli''' kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha Samueli katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa w...
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Kitabu cha kwanza cha Samuli''' kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha [[Samueli]] katika [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake.
'''Kitabu cha kwanza cha Samueli''' kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha [[Samueli]] katika [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake.


Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya [[Kigiriki]]) inayojulikana kama [[Septuaginta]] na katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia]] ya [[Ukristo]] kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea.
Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya [[Kigiriki]]) inayojulikana kama [[Septuaginta]] na katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia]] ya [[Ukristo]] kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea.
Mstari 5: Mstari 5:
Hata hivyo mada yake na ya Kitabu cha pili ni moja: kueleza habari za mwanzo wa ufalme wa [[Israeli]] chini ya Samueli aliyewapaka mafuta wawe wafalme [[Sauli]] halafu [[Daudi]].
Hata hivyo mada yake na ya Kitabu cha pili ni moja: kueleza habari za mwanzo wa ufalme wa [[Israeli]] chini ya Samueli aliyewapaka mafuta wawe wafalme [[Sauli]] halafu [[Daudi]].


Kwa habari zaidi tazama [[Vitabu vya Samueli]].
Kwa habari zaidi tazama [[Vitabu vya Samweli]].

{{Biblia AK}}

[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]

[[an:I Samuel]]
[[cs:1. kniha Samuelova]]
[[da:Første Samuelsbog]]
[[de:1. Buch Samuel]]
[[el:Α' Βασιλειών]]
[[eo:1-a libro de Samuel]]
[[es:I Samuel]]
[[fi:Ensimmäinen Samuelin kirja]]
[[fr:Premier livre de Samuel]]
[[gd:1 Samuel]]
[[gl:I Samuel]]
[[hr:Prva knjiga o Samuelu]]
[[id:Kitab 1 Samuel]]
[[jv:I Samuel]]
[[la:Liber I Samuelis]]
[[pl:1 Księga Samuela]]
[[pt:I Samuel]]
[[ru:Книга Царств]]
[[scn:1 Samueli]]
[[sm:O le tusi muamua Samuelu]]
[[sv:Första Samuelsboken]]

Pitio la 19:10, 10 Oktoba 2008

Kitabu cha kwanza cha Samueli kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha Samueli katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake.

Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya Kigiriki) inayojulikana kama Septuaginta na katika Agano la Kale la Biblia ya Ukristo kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea.

Hata hivyo mada yake na ya Kitabu cha pili ni moja: kueleza habari za mwanzo wa ufalme wa Israeli chini ya Samueli aliyewapaka mafuta wawe wafalme Sauli halafu Daudi.

Kwa habari zaidi tazama Vitabu vya Samweli.

Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki

Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.