Ansgar Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
New page: '''Mtakatifu Ansgar''' (labda 800 – 865) alikuwa askofukutoka Ufaransa. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 3 Februari. ==Maisha== Ansgar alizaliwa Ufaransa...
 
dNo edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Ansgar.jpg|thumb|right|200px]]
'''Mtakatifu Ansgar''' (labda 800 – [[865]]) alikuwa askofukutoka [[Ufaransa]]. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[3 Februari]].
'''Mtakatifu Ansgar''' (labda 800 – [[865]]) alikuwa askofukutoka [[Ufaransa]]. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[3 Februari]].


==Maisha==
== Maisha ==
Ansgar alizaliwa [[Ufaransa]] mwanzoni mwa karne ya tisa. Alisoma katika monasteri huko [[Corbie]]. Mwaka wa 826 alienda kuhubiri injili [[Denmark]]. Denmark hakufanikisha sana, akaenda [[Uswidi]]. Aliteuliwa kuwa Askofu wa [[Hamburg]], upande wa kaskazini wa [[Ujerumani]]. Pia alikuwa mjumbe wa [[Papa Gregori IV]] katika Denmark na Uswidi. Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya kueneza injili, lakini hakukata tamaa. Alikufa mwaka wa 865.
Ansgar alizaliwa [[Ufaransa]] mwanzoni mwa karne ya tisa. Alisoma katika monasteri huko [[Corbie]]. Mwaka wa 826 alienda kuhubiri injili [[Denmark]]. Denmark hakufanikisha sana, akaenda [[Uswidi]]. Aliteuliwa kuwa Askofu wa [[Hamburg]], upande wa kaskazini wa [[Ujerumani]]. Pia alikuwa mjumbe wa [[Papa Gregori IV]] katika Denmark na Uswidi. Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya kueneza injili, lakini hakukata tamaa. Alikufa mwaka wa 865.


==Tazama pia==
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
* [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]

== Marejeo ==
* "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1281


{{mbegu}}


==Marejeo==
*"Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1281


[[Category:Watakatifu Wakristo]]
[[Category:Watakatifu Wakristo]]
[[Category:Waliofariki 865]]
[[Category:Waliofariki 865]]



{{mbegu}}
[[cs:Ansgar]]
[[da:Ansgar]]
[[de:Ansgar (Erzbischof von Hamburg-Bremen)]]
[[en:Ansgar]]
[[es:Óscar (santo)]]
[[fr:Anschaire de Brême]]
[[is:Ansgar]]
[[it:Sant'Oscar]]
[[nl:Ansgarius]]
[[no:Ansgar]]
[[nn:Den heilage Ansgar]]
[[nds:Ansgar (Bremen)]]
[[pl:Ansgar (biskup)]]
[[ro:Oscar (sfânt)]]
[[ru:Ансгар]]
[[fi:Ansgar]]
[[sv:Ansgar]]
[[uk:Святий Ансґар]]

Pitio la 16:03, 29 Septemba 2008

Mtakatifu Ansgar (labda 800 – 865) alikuwa askofukutoka Ufaransa. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 3 Februari.

Maisha

Ansgar alizaliwa Ufaransa mwanzoni mwa karne ya tisa. Alisoma katika monasteri huko Corbie. Mwaka wa 826 alienda kuhubiri injili Denmark. Denmark hakufanikisha sana, akaenda Uswidi. Aliteuliwa kuwa Askofu wa Hamburg, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Pia alikuwa mjumbe wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi. Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya kueneza injili, lakini hakukata tamaa. Alikufa mwaka wa 865.

Tazama pia

Marejeo

  • "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1281