Fransisko wa Paola : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Franziskus von Paola.jpg|thumb|right|200px]]
[[Image:Franziskus von Paola.jpg|thumb|right|200px]]
'''Mtakatifu Fransisko wa Paola''' ({{lang|it|Francesco di Paola}}, [[1416]] – [[1507]]) alikuwa [[mtawa]]] nchini [[Italia]]. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[2 Aprili]].
'''Mtakatifu Fransisko wa Paola''' ({{lang|it|Francesco di Paola}}, [[1416]] – [[1507]]) alikuwa [[mtawa]] nchini [[Italia]]. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[2 Aprili]].


== Maisha ==
== Maisha ==

Pitio la 14:33, 29 Septemba 2008

Mtakatifu Fransisko wa Paola (Francesco di Paola, 14161507) alikuwa mtawa nchini Italia. Ametambuliwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 2 Aprili.

Maisha

Fransisko alizaliwa katika mji wa Paola, mkoa wa Kalabria, Italia, mwaka wa 1416. Alianzisha shirika la watawa wakaa-pweke, ambalo baadaye lilibadilisha na kuwa Utawa wa Wadogo Kabisa, na likapata kibali kutoka kwa Papa mwaka wa 1506. Fransisko alikufa mwaka wa 1507 huko Tours, Ufaransa.

Tazama pia

Marejeo

  • "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1328