Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lb:Kleng Antillen
d roboti Nyongeza: br:Antilhez Bihanañ
Mstari 45: Mstari 45:
[[ar:جزر الأنتيل الصغرى]]
[[ar:جزر الأنتيل الصغرى]]
[[bg:Малки Антили]]
[[bg:Малки Антили]]
[[br:Antilhez Bihanañ]]
[[bs:Mali Antili]]
[[bs:Mali Antili]]
[[cs:Malé Antily]]
[[cs:Malé Antily]]

Pitio la 06:20, 23 Septemba 2008

Antili Ndogo ni sehemu ya kusini ya pinde la visiwa vya Karibi

Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.

Jiolojia

Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.

Orodha ya visiwa

Visiwa karibu na pwani la Venezuela: