Robben Island : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
undo vandalism
No edit summary
Mstari 9: Mstari 9:
Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi la kimazingira. Watimishi wanaoongoza wageni ni wafungwa wa zamani. Kipo kwenye orodha ya [[UNESCO]] ya [[Urithi wa Dunia]].
Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi la kimazingira. Watimishi wanaoongoza wageni ni wafungwa wa zamani. Kipo kwenye orodha ya [[UNESCO]] ya [[Urithi wa Dunia]].


[[en:Afrika Kusini]]



[[af:Robbeneiland]]
[[af:Robbeneiland]]

Pitio la 00:42, 19 Septemba 2008

Majengo ya gereza la Robben Island. Mlima wa Meza nyuma
Robben Island inavyoonekana kutoka Mlima wa Meza

Robben Island ni kisiwa kidogo 12 km mbele ya mji wa Cape Town (Afrika Kusini) katika Atlantiki. Kisiwa kina eneo la hektari 547, urefu ni 4.5 km na upana hadi 1.5 km.

Kisiwa kimejulikana kutokana na gereza lake na mfungwa mashuhuri Nelson Mandela. Wafungwa pamoja naye walikuwa Walter Sisulu, Govan Mbeki na Robert Sobukwe.

Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi la kimazingira. Watimishi wanaoongoza wageni ni wafungwa wa zamani. Kipo kwenye orodha ya UNESCO ya Urithi wa Dunia.