Alfabeti : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Nyongeza: ml:അക്ഷരമാല |
d roboti Nyongeza: mk:Азбука, ms:Abjad Badiliko: ta:அகரவரிசை |
||
Mstari 108: | Mstari 108: | ||
[[lv:Alfabēts]] |
[[lv:Alfabēts]] |
||
[[mg:Abidy]] |
[[mg:Abidy]] |
||
[[mk:Азбука]] |
|||
[[ml:അക്ഷരമാല]] |
[[ml:അക്ഷരമാല]] |
||
[[ms:Abjad]] |
|||
[[mt:Alfabett]] |
[[mt:Alfabett]] |
||
[[nl:Alfabet]] |
[[nl:Alfabet]] |
||
Mstari 130: | Mstari 132: | ||
[[su:Alpabét]] |
[[su:Alpabét]] |
||
[[sv:Alfabet]] |
[[sv:Alfabet]] |
||
[[ta:அகரவரிசை]] |
|||
[[ta:நெடுங்கணக்கு]] |
|||
[[th:อักษร]] |
[[th:อักษร]] |
||
[[tl:Alpabeto]] |
[[tl:Alpabeto]] |
Pitio la 12:45, 16 Septemba 2008
Alfabeti ni kiasi cha alama zinazotumiwa kuandika sauti za lugha fulani. Alama hizi hupatikana kama orodha kwa ufuatano uliokubaliwa, kwa mfano "a,b,c,d,e".
Jina la "alfabeti" hutokana na mwandiko wa Kigiriki ambamo herufi mbili za kwanza ni α "alfa" na β "beta".
Alfabeti huonyesha sauti si maneno kamili - hii ni tofauti na mwandiko kama Kichina mwenye alama kwa ajili ya neno lote.
Mifano ya Alfabeti
Alfabeti inayotumiwa zaidi kimataifa ni alfabeti ya Kilatini. Lakini kuna alfabeti kadhaa zinazojulikana kimataifa kama vile:
- Alfabeti ya Kilatini (au "alfabeti ya Kirumi")
- Alfabeti ya Kigiriki hutumiwa kwa lugha ya Kigiriki.
- Alfabeti ya Kiarabu hutumiwa kwa Kiarabu, Farsi na Urdu.
- Alfabeti ya Kiebrania hutumiwa kwa Kiebrania na Kiyidish
- Alfabeti ya Kikyrili hutumiwa kwa lugha za Kislavoni kama Kirusi, Kibulgaria, Kiserbia na pia lugha za Asia ya Kati.
Mengine ni alfabeti kama vile Kikopti, Kigeorgia, Kiarmenia na vingine.
Abugida
Aina ya pekee za alfabeti ni miandiko ya "abugida". Hii inamaanisha namna ya kuandika ambako hakuna alama za pekee kwa ajili ya vokali. Kila alama ya konsonanti ina namna mbalimbali ya kuonekana kwa kuongeza alama ndogo inayoonyesha ni vokali ipi inayofuata. mifano yake ni
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |