Alfabeti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ml:അക്ഷരമാല
Mstari 108: Mstari 108:
[[lv:Alfabēts]]
[[lv:Alfabēts]]
[[mg:Abidy]]
[[mg:Abidy]]
[[mk:Азбука]]
[[ml:അക്ഷരമാല]]
[[ml:അക്ഷരമാല]]
[[ms:Abjad]]
[[mt:Alfabett]]
[[mt:Alfabett]]
[[nl:Alfabet]]
[[nl:Alfabet]]
Mstari 130: Mstari 132:
[[su:Alpabét]]
[[su:Alpabét]]
[[sv:Alfabet]]
[[sv:Alfabet]]
[[ta:அகரவரிசை]]
[[ta:நெடுங்கணக்கு]]
[[th:อักษร]]
[[th:อักษร]]
[[tl:Alpabeto]]
[[tl:Alpabeto]]

Pitio la 12:45, 16 Septemba 2008

Mifumo ya mwandishi duniani
Alfabeti:  Kilatini ,  Kikirili ,  Kilatini pamoja na Kikirili ,  Kigiriki ,  Kigeorgia na Kiarmenia 
Abjadi:  Kiarabu ,  Kiarabu pamoja na Kilatini ,  Kiebrania pamoja na Kiarabu 
Abugida:  Kihindi ya Kaskazini ,  Kihindi ya Kusini ,  Kiethiopia ,  Kithaana   Mwandishi wa kizalendo wa Kanada ,
Alama kwa neno lote na alama za silabi:  Alama za neno lote ,  Mchanganyiko wa alama za maneno na silabi ,  Mchanganyiko alfabeti na silabi   Mchanganyiko alfabeti na silabi 

Alfabeti ni kiasi cha alama zinazotumiwa kuandika sauti za lugha fulani. Alama hizi hupatikana kama orodha kwa ufuatano uliokubaliwa, kwa mfano "a,b,c,d,e".

Jina la "alfabeti" hutokana na mwandiko wa Kigiriki ambamo herufi mbili za kwanza ni α "alfa" na β "beta".

Alfabeti huonyesha sauti si maneno kamili - hii ni tofauti na mwandiko kama Kichina mwenye alama kwa ajili ya neno lote.

Mifano ya Alfabeti

Alfabeti inayotumiwa zaidi kimataifa ni alfabeti ya Kilatini. Lakini kuna alfabeti kadhaa zinazojulikana kimataifa kama vile:

Mengine ni alfabeti kama vile Kikopti, Kigeorgia, Kiarmenia na vingine.

Abugida

Aina ya pekee za alfabeti ni miandiko ya "abugida". Hii inamaanisha namna ya kuandika ambako hakuna alama za pekee kwa ajili ya vokali. Kila alama ya konsonanti ina namna mbalimbali ya kuonekana kwa kuongeza alama ndogo inayoonyesha ni vokali ipi inayofuata. mifano yake ni