Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: id:Antillen Kecil
d roboti Nyongeza: lb:Kleng Antillen
Mstari 65: Mstari 65:
[[ja:小アンティル諸島]]
[[ja:小アンティル諸島]]
[[ku:Antîlên Biçûk]]
[[ku:Antîlên Biçûk]]
[[lb:Kleng Antillen]]
[[lt:Mažieji Antilai]]
[[lt:Mažieji Antilai]]
[[mk:Мали Антили]]
[[mk:Мали Антили]]

Pitio la 15:38, 12 Septemba 2008

Antili Ndogo ni sehemu ya kusini ya pinde la visiwa vya Karibi

Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.

Jiolojia

Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.

Orodha ya visiwa

Visiwa karibu na pwani la Venezuela: