Mikronesia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fy:Mikroneezje |
d roboti Nyongeza: la:Micronesia |
||
Mstari 56: | Mstari 56: | ||
[[ko:미크로네시아]] |
[[ko:미크로네시아]] |
||
[[ks:मैक्रोनीशिया]] |
[[ks:मैक्रोनीशिया]] |
||
[[la:Micronesia]] |
|||
[[lb:Mikronesien]] |
[[lb:Mikronesien]] |
||
[[lt:Mikronezija]] |
[[lt:Mikronezija]] |
Pitio la 03:01, 11 Septemba 2008
Mikronesia ni eneo la Bahari ya Pasifiki. Ni moja kati ya makundi makubwa matatu ya visiwa vya Pasifiki pamoja na Melanesia na Polynesia.
Jina limeundwa na maneno ya Kigiriki ya νῆσος (kisiwa) na μικρος (kidogo) yaani "visiwa vidogo". Mpelelezi na nahodha Mfaransa Jules Dumont d'Urville alitunga jina hili 1832 kwa kuweka uzito kwa udogo wa visiwa hivi vinavyozidi 2,000.
Mikronesia iko upande wa mashariki wa Ufilipino na upande wa kaskazini ya Guinea Mpya na Melanesia to the south, halafu magharibi ya Polynesia. Eeno lake ni klaskazini ya ikweta.
Nchi za Mikronesia
Kisiasa kuna maeneo nane katika Mikronesia:
- Shirikisho la Mikronesia lenye majimbo manne: Kosrae, Yap, Pohnpei na Chuuk;
- Visiwa vya Marshall;
- Palau;
- Nauru;
- Kiribati;
- Visiwa vya Mariana ya Kaskazini (chini ya Marekani);
- Guam (eneo la Marekani).
- kisiwa cha Wake (kituo cha kijeshi cha Marekani).
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |