Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mr:योहानेस चौथा, इथियोपिया |
d roboti Nyongeza: br:Yohannes IV |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]] |
[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]] |
||
[[br:Yohannes IV]] |
|||
[[de:Yohannes IV.]] |
[[de:Yohannes IV.]] |
||
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]] |
[[en:Yohannes IV of Ethiopia]] |
Pitio la 10:10, 9 Septemba 2008
Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 1872–1889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.
1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Al-Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.