Barafuto : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: scn:Ghiacciau
d roboti Nyongeza: ko:빙하
Mstari 49: Mstari 49:
[[ja:氷河]]
[[ja:氷河]]
[[kk:Мұздық]]
[[kk:Мұздық]]
[[ko:빙하]]
[[lb:Gletscher]]
[[lb:Gletscher]]
[[li:Gletsjer]]
[[li:Gletsjer]]

Pitio la 18:34, 29 Agosti 2008

Barafuto ya Aletsch, Uswisi yenye umbo la mto wa barafu

Barafuto huitwa pia "mto wa barafu". Ni kanda kubwa la barafu iliyoanza kutambaa kutokana na uzito wake ikifuata uvutano kwenye mtelemko. Kwa sababu hiyo barafuto zinapatikana hasa mlimani.

Asili ya barafu ya barafuto

Barafuto ndogo juu ya mlima Kilimajaro

Barafuto zimetokana na theluji inayokaa miaka mingi bila kuyeyuka katika mazingira baridi. Theluji mpya inakaa juu ya theluji ya miaka iliyotangulia. Uzito wa theluji ya baadaye inakandamiza ile ya chini. Kutokana na shindikizo hili theluji ya chini hubadilika kuwa barafu kabisa.

Bonde lenye umbo la "U" lilikatwa na barafuto huko Mt. Hood, Marekani

Barafuto ni kati ya nguvu kubwa za mmomonyoko duniani.

Afrika ina barafuto ndogo kadhaa juu ya mlima Kilimanjaro na mlima Kenya lakini zinaelekea kupotea kutokana na uhaba wa mvua itakayobadilika kuwa theluji mpya.

Kigezo:Link FA