Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: uk:Лі Цзундао
d roboti Nyongeza: ht:Tsung-Dao Lee
Mstari 24: Mstari 24:
[[fr:Tsung-Dao Lee]]
[[fr:Tsung-Dao Lee]]
[[gl:Tsung-Dao Lee]]
[[gl:Tsung-Dao Lee]]
[[ht:Tsung-Dao Lee]]
[[hu:Tsung-Dao Lee]]
[[hu:Tsung-Dao Lee]]
[[id:Tsung-Dao Lee]]
[[id:Tsung-Dao Lee]]

Pitio la 15:24, 25 Agosti 2008

Faili:TD Lee-med.jpg
Tsung-Dao Lee

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.