Fonolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fy:Fonology |
d roboti Nyongeza: sk:Fonológia |
||
Mstari 55: | Mstari 55: | ||
[[scn:Fonoluggìa]] |
[[scn:Fonoluggìa]] |
||
[[simple:Phonology]] |
[[simple:Phonology]] |
||
[[sk:Fonológia]] |
|||
[[sl:Fonologija]] |
[[sl:Fonologija]] |
||
[[sr:Фонологија]] |
[[sr:Фонологија]] |
Pitio la 00:56, 22 Agosti 2008
Fonolojia ni tawi la sayansi ya isimu. Inashughulikia uchunguzi wa mfumo wa sauti katika lugha fulani, kwa mfano ugawanyaji wa irabu na konsonanti. Matokeo ya uchunguzi wa kifonolojia yana umuhimu katika kubuni alfabeti.
Marejeo
- TUKI 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
- Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |