Arno Penzias : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ht:Arno Allan Penzias
Mstari 24: Mstari 24:
[[he:ארנו פנזיאס]]
[[he:ארנו פנזיאס]]
[[hi:आर्नो पेन्जियस]]
[[hi:आर्नो पेन्जियस]]
[[ht:Arno Allan Penzias]]
[[hu:Arno Allan Penzias]]
[[hu:Arno Allan Penzias]]
[[id:Arno Penzias]]
[[id:Arno Penzias]]

Pitio la 13:18, 21 Agosti 2008

Arno Allan Penzias (amezaliwa 26 Aprili, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa nchini Ujerumani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Robert Woodrow Wilson na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.