Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ar:فيستولا
Mstari 27: Mstari 27:
[[be-x-old:Вісла]]
[[be-x-old:Вісла]]
[[bg:Висла]]
[[bg:Висла]]
[[bn:ভিস্তুলা নদী]]
[[ca:Vístula]]
[[ca:Vístula]]
[[cs:Visla]]
[[cs:Visla]]

Pitio la 13:33, 19 Agosti 2008

Vistula
Kipoland: Wisła
Vistula karibu na Warshawa, Poland.
Chanzo Milima ya Beskidi
Mdomo Bahari ya Baltiki
Nchi Poland
Urefu 1,047 km
Kimo cha chanzo 1,106 m
Mkondo 1,054 m³/s
Eneo la beseni 194,424 km²
Nchi za beseni: Poland,
Ukraine, Belarus, Slovakia
Miji mikubwa kando lake Krakov, Warshawa, Thorun, Gdansk

Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.

Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.