Nagasaki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ms:Nagasaki |
d roboti Nyongeza: gl:Nagasaki |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[fi:Nagasaki]] |
[[fi:Nagasaki]] |
||
[[fr:Nagasaki]] |
[[fr:Nagasaki]] |
||
[[gl:Nagasaki]] |
|||
[[he:נגסאקי]] |
[[he:נגסאקי]] |
||
[[hi:नागासाकी]] |
[[hi:नागासाकी]] |
Pitio la 23:42, 16 Agosti 2008
Nagasaki ni mji wa Japani kwenye kisiwa cha Kyushu mwenye wakazi 450,000. Imejulikana kimataifa kwa sababu iliharibiwa mwaka 1945 na bomu la nyuklia ya Kimarekani kama mji wa pili katika historia baada ya Hiroshima. Bomu likaua watu 36,000 mara moja na wengine waliokadiriwa kuwa kati ya 70,000 na 100,000 walikufa baadaye kufuatana athira ya mnururisho wa kinyuklia.
Kihistoria Nagasaki ilikuwa kitovu cha Ukristo katika Japani mnamo mwaka 1600. Imani hii ilipigwa marufuku na serikali na Wakristo wengi waliuawa katika miaka iliyofuata. Wachache walitunza imani kwa siri hadi kurudishwa kwa uhuru wa kidini katika karne ya 19.
Viungo vya Nje
- WW2DB: Destruction of Hiroshima and Nagasaki
- Official website in English
- Footage of the bombing of Nagasaki
- Nuclear Files.org
- 'Nagasaki's Sister Cities
- Nagasaki Japan Association for Language Teaching (JALT)
- Nuclear Weapons and Warfare
- Why Hiroshima And Nagasaki
- Nagasaki Prefectual Tourism Federation
- Nagasaki Social Networking Service
- Nagasaki Product Promotion Association
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |