Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: hi:उम अल क्वैन |
d roboti Nyongeza: he:אום אל-קיוין |
||
Mstari 38: | Mstari 38: | ||
[[fa:امالقوین]] |
[[fa:امالقوین]] |
||
[[fr:Oumm al Qaïwaïn]] |
[[fr:Oumm al Qaïwaïn]] |
||
[[he:אום אל-קיוין]] |
|||
[[hi:उम अल क्वैन]] |
[[hi:उम अल क्वैन]] |
||
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
[[id:Umm al-Qaiwain]] |
Pitio la 23:09, 13 Agosti 2008
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain